Macho

JICHO JEKUNDU :Sababu, matibabu, kuzuia

Jicho jekundu ni nini? Jicho jekundu ni hali inayotokana na kuvimba kwa utando mwepesi unaofunika jicho na sehemu ya ndani ya kope. Jicho jekundu ni hali inayotambulika pia kama konjaktivaitisi. Kwa kawaida hali hii inasababishwa na maambukizi ya kawaida. Visa vingi vya Jicho jekundu vinasababishwa na virusi, lakini pia yanaweza kusababishwa na vimelea wengine (kama […]

Read More
Macho

MACHO MEKUNDU: Sababu, dalili, matibabu

Macho mekundu ni nini? Macho mekundu ni hali inayotokana na kuvimba kwa utando mwepesi unaofunika jicho na sehemu ya ndani ya kope. Macho mekundu ni hali inayotambulika pia kama konjaktivaitisi. Kwa kawaida hali hii inasababishwa na maambukizi ya kawaida ambayo huwa sio tishio. Visa vingi vya macho mekundu vinasababishwa na virusi, lakini pia yanaweza kusababishwa […]

Read More
Macho

MACHO MAKENGEZA: Sababu, matibabu, kuzuia

Macho makengeza ni nini? Macho makengeza (amblyopia) ni hali ya kupoteza uwezo wa kuona katika jicho moja. Kwa watoto na watu wazima, ni hali inayosababisha matatizo ya uoni kwa watu wengi. Hali hii inatokea kunapokuwepo na mkanganyiko kati ya jicho na ubongo. Ubongo unashindwa kutambua picha zinazotumwa kutoka katika jicho moja, na kwa sababu hii, […]

Read More
Macho

UGONJWA WA TRAKOMA:Sababu, dalili, matibabu

Ugonjwa wa trakoma ni nini? Ugonjwa wa trakoma ni ugonjwa wa macho unaosababishwa na bakteria, ambao wanasababisha kope kukua kwa kwenda ndani, kuwashwa kwenye jicho, maumivu na hatimaye upofu. Maambukizi yanasambaa kupitia mawasiliano ya moja kwa moja (kupitia mikono, nguo, na shuka) na wadudu warukao ambao wamegusa maji maji kutoka katika macho au pua za […]

Read More
Macho

UGONJWA WA GLAUKOMA (PRESHA YA MACHO)

Ugonjwa wa glaukoma (presha ya macho) ni nini? Ugonjwa wa glaukoma (presha ya macho) – Ni ugonjwa wa macho ambao huharibu mshipa mkuu wa neva ya kuona, na mara nyingi husababishwa na kuongezeka kwa mbanano/shinikizo ndani ya jicho. Mbanano huu mara nyingi husababishwa na kushindwa kupenya kwa maji yanayokaa mbele ya mboni ya jicho kwenye […]

Read More
Macho

KUPUNGUA KWA UWEZO WA KUONA NA UPOFU

Kupungua kwa uwezo wa kuona na upofu ni nini? Kupungua kwa uwezo wa kuona ni neno linalotumiwa kuwakilisha watu wenye tatizo la kupungua uoni au upofu. Watu wenye tatizo la kupungua kwa uwezo wa kuona ni wale ambao hawawezi kuona vizuri na hivyo kushindwa kufanya shughuli zao za kila siku. Watu wenye upofu ni wale […]

Read More
Macho

MATATIZO YA LENZI ZA MACHO :Dalili, sababu..

Matatizo ya lenzi za macho ‘’contact lens ‘’ Sababu kubwa ya matatizo ya lenzi za macho yanatokana na lenzi ambayo haikai sawa kwenye jicho, lenzi ambayo haifanyiwi usafi vizuri, lenzi ambayo inaharibiwa na dawa za kusafishia na vumbi au mazingira yenye upepo mwingi. Kama ukivaa lezi kwa muda mrefu au kukiwa na kipande cha uchafu […]

Read More
Macho

KUTOA/ KUONDOA KITU JICHONI

Maelezo ya jumla Kutoa/ kuondoa kitu jichoni – kama ukiingiliwa na kitu jichoni, kinaweza kuleta usumbufu , kikasababisha wekundu kwenye jicho, kutokwa machozi na hata kupunguza uwezo wa kuona. Mara nyingi utakuta kitu kilichoingia jichoni ni kidogo sana, kama vile unywele wa kope, kipande cha vumbi au uchafu, na hivi huoshwa na kuondolewa na machozi […]

Read More
Macho

TATIZO LA UKAVU WA MACHO | KUPUNGUA KWA MACHOZI

Maelezo ya jumla Tatizo la ukavu wa macho / kupungua kwa machozi – macho yanaweza kuwa makavu unapokuwa hautengenezi machozi ya kutosha au kama machozi unayotengeneza hayalowanishi macho vizuri. Ukiwa na tatizo la kupungua kwa machozi unaweza kuhisi macho yanakwaruza, kunata na kama yana mchanga ndani. Mtu wa umri wowote anaweza kupatwa na hili tatizo, […]

Read More
Macho

KUWASHWA MACHO:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Kuwashwa macho – macho yanayowasha mara nyingi utakuta ni mekundu, yanawasha na unahisi kama yanaungua hivi. Unahisi kujikuna kila mara. Kitu chochote kinachosumbua macho, kama vile hali ya hewa, vumbi au maambukizi, kinaweza kusababisha kuwashwa macho. Mzio unaosababishwa na chemvua za mimea au mjibizo mbaya unaotokana na ”chlorine” inayowekwa kwenye mabwawa ya […]

Read More
X