Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

KUWASHWA/FANGASI KWENYE PUMBU:Dalili, matibabu

Maelezo ya jumla Ugonjwa wa kuwashwa/fangasi kwenye pumbu ni tatizo linalosababishwa na fangasi wanaoshambulia eneo la kinena. Ni zipi dalili za kuwashwa/fangasi kwenye pumbu Kuwashwa kwenye kinena, kwenye mikunjo ya sehemu ya ndani ya mapaja, au mk*ndu. Kunakuwepo na wekundu wa ngozi, inayobadilika kuwa kama magamba na inaweza kutengeneza malengelenge ambayo yanaweza kupasuka kutoa majimaji […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

UTANGOTANGO/MATANGATANGA/MBA WA MWILI

Maelezo ya jumla Utangotango/matangatanga/mba wa mwili (tinea versicolor) ni maambukizi ya fangasi kwenye ngozi yanayodumu kwa muda mrefu. Ni zipi dalili za utangotango/matangatanga/mba wa mwili? Dalili kuu ni kuwepo kwa mabaka kwenye ngozi yenye rangi iliyofifia, yana kingo zilizonyooka na zinaonekana kama magamaba mepesi. Mabaka kwa kawaida yana rangi ya wekundu iliyofifia. Maeneo yanayotokewa zaidi […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

UKIKOSA NGOZI UTAKUFA

Ngozi Sio rahisi kujua mtu anaweza kuishi kwa muda gani bila ngozi. Siku 2 ni makadrio mazuri, ila bado hatuna uhakika. Ngozi, kucha na nywele hufanya kazi ya kukinga viungo vya mwili dhidi ya mazingira yanayouzunguka. Ngozi ndio kiungo kikubwa zaidi kuliko vyote kwenye mwili. Ngozi inasaidia kufyonza virutubisho, kudhibiti joto la mwili na kuondoa […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

TATIZO/UGONJWA WA KUJIONA MBAYA

Tatizo/ugonjwa wa kujiona mbaya ni nini? Ugonjwa wa kujiona mbaya ni hali inayokutokea unaposhindwa kujizuia kufikiria kuhusu sehemu fulani ya mwili. Unajihisi kama kuna shida fulani na sehemu fulani ya mwili, hata kama haina shida yoyote. Tatizo/ugonjwa wa kujiona mbaya una dalili gani? Unajikuta unaifikiria sana na kuwa na wasiwasi kuhusu sehemu fulani ya mwili. […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

FANGASI ZA KUCHA: Sababu, dalili, matibabu

Fangasi za kucha ni nini? Fangasi za kucha ni aina ya maambukizi yanayotokea kwenye kucha za vidole vya miguu au vidole vya mikono yayosababishwa na fangasi. Kwanini unapata fangasi za kucha? Madaktari sio mara zote wanajua sababu za kutokea kwake. Lakini fangasi huwapata zaidi watu wenye ugonjwa wa kisukari na matatizo mengine ya kitabibu, na […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

UGONJWA WA MDUDU KWENYE KIDOLE (UVIMBE WA KUCHA)

Ugonjwa wa mdudu kwenye kidole (uvimbe wa kucha) Ugonjwa wa mdudu kwenye kidole (paronychia) ni ugonjwa unaosababisha kuvimba kwa tishu zinazouzunguka ukucha. Ni tatizo linalowapata watu wengi, linaathiri tishu zinazozunguka vidole vya mikono au miguu. Kuna aina mbili za ugonjwa wa mdudu kwenye kidole; ugonjwa unaotokea haraka na ugonjwa sugu unaodumu kwa muda mrefu. Ugonjwa […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

UGONJWA WA LUPUS :Sababu, dalili, matibabu

Ugonjwa wa lupus ni nini? Ugonjwa wa lupus ni ugonjwa wa kinga ya mwili unaoweza kuathiri sehemu nyingi za mwili. Kwa kawaida, mfumo wa kinga ya mwili hutengeneza antibodies ambazo hutumika kutukinga na maambukizi. Kwa watu wenye ugonjwa wa lupus, mfumo wa kinga ya mwili unakanganyika na kutengeneza antibodies ambazo hushambulia na kuharibu seli na […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

KUOTA NYWELE KWENYE MIKONO,USO,MAPAJA,TUMBO…

Maelezo ya jumla Kuota nywele nyingi kuliko kawaida (hirsutism) ni tatizo ambalo linaweza kuwapata watu wa jinsi zote mbili, lakini huwa linawaathiri zaidi wanawake. Baadhi ya wanawake kwa asili yao, wana nywele nyingi mwilini kuliko wengine na wanaweza kuwa na nywele ambazo hawazipendi au hawazitaki hasa usoni au wanaweza kuota nywele nyingi na nzito kwenye […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

TATIZO LA KUUMA, KULA, KUTAFUNA KUCHA

Maelezo ya jumla Watoto wengi na vijana ambao wako kwenye balehe wanauma au kutafuna kucha. Lakini wengi wao, kadri wanavyokua wanaiacha tabia hii. Baadhi ya watu, huendelea na tabia hii ya kula au kutafuna kucha mpaka utu uzima. Inaweza kuwa ngumu kweli kuacha tabia hii. Unaweza kujikuta ukitafuna kucha bila kujitambua, hasa unapokuwa hauna kazi […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

MBA:Sababu, dalili, matibabu, kuzuia

Maelezo ya jumla Mba (dandruff) hazina madhara yoyote, lakini zinakera na zinaaibisha. Ukiwa na tatizo la hili, ngozi ya kichwa inakuwa inatoa seli nyingi zaidi zilizokufa zinazotakiwa kuondolewa. Seli hizi nyeupe kama vipande vya ukoko zinabakia kwenye nywele au mabega kama umevaa nguo yenye rangi nzito. Unaweza kuhisi ngozi ya kichwa inawasha na kuwa nyekundu. […]

Read More
X