SARATANI YA UKE: Sababu, dalili, matibabu
Maelezo ya jumla Saratani ya uke ni kansa inayotokea kwa nadra sana. Haina dalili za awali. Uke unaanzia kwenye mlango wa kizazi mpaka kwenye k*ma. Uke una urefu wa kati ya sentimeta 3 mpaka 4. Â Unapokuwa na kansa ya uke, dalili za kawaida ni pamoja na kutokwa na damu ukeni, kutokwa na uchafu ukeni, […]