Mazingira

KUZUIA AJALI:Unatakiwa kufanya nini?

Maelezo ya jumla Ajali zote zinaweza kuua, kusababisha ulemavu na uharibifu wa mali, hivyo basi kuleta umasikini kwa watu na Taifa kwa ujumla. Takimwi za ajali Katika kipindi cha Novemba 2011 na Desemba 2012, jumla ya majeruhi 9,311 wa ajali mbalimbali walionwa katika hospitali za MOI, Morogoro, Mtwara, Kigoma, Musoma na Korogwe (sawa na jeruhi […]

Read More
Mazingira

KUAMBUKIZWA/KUPATA UGONJWA WAKATI WA KUOGELEA

Unaweza kuambukizwa ugonjwa kwa kuogelea? Kuogelea kwa kawaida ni shughuli nzuri na salama. Unaweza kupata ugonjwa kama maji unayoogelea yana vimelea na ukayanywa au wakaingia kupitia kwenye jeraha. Unaweza pia kupata maambukizi kwenye mabwawa ya kuogelea, hata kama maji yametibiwa vizuri kwa dawa ya chlorine. Kuna baadhi ya bakteria, virusi na vimelea kwenye mabwawa ya […]

Read More
Mazingira

ATHARI ZA MABADILIKO YA HALI YA HEWA KWA AFYA

Mabadiliko ya hali ya hewa nini? Mabadiliko ya hali ya hewa yanatokana na kupanda kwa joto katika uso wa dunia. Kwa sababu hii, joto la dunia linaendelea kuongezeka kwa kila muongo unaopita. Wanasayansi wamegundua kuwa hali hii inasababishwa na shughuli za binadamu zinazochangia uchafuzi wa hewa. Watu wanapochoma mafuta ili kupata umeme (kwa mfano: kuendesha […]

Read More
Mazingira

UMUHIMU WA MAVAZI

Maelezo ya jumla Umuhimu wa mavazi -Tafiti nyingi zinaonesha kuwa, mavazi tunayovaa yana adhari kubwa kwa maisha yetu kiakili na kimwili. Japo tafiti hizi nyingi, ni tafiti ndogo, zinazofanyika kwa makundi ya watu wachache na hayajapata uwezekano wa kufanyika kwa watu wengi ulimwenguni, lakini kadri tafiti hizi zinavyoongezeka zinaashiria kuwa kuna kitu cha kibiolojia kinachotokea […]

Read More
Mazingira

KICHAA CHA MBWA:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Kichaa cha mbwa (Rabies) ni ugonjwa hatari sana wa wanyama unaosababishwa na virusi. Unaweza kuwapata wanyama wa mwitu, kama vile kicheche, popo na mbweha. Unaweza pia kuwapata wanyama wa nyumbani kama mbwa, paka au wanyama wengine. Watu hupata ugonjwa huu baada ya kuumwa na mnyama aliyeambukizwa. Je! Nini dalili za kichaa cha […]

Read More
X