Upasuaji

KUKATWA MGUU: Sababu, maandalizi, matarajio

Maelezo ya jumla Kukatwa mguu ni hali ya kukata na kuondoa mguu, kanyagio au vidole kutoka mwilini. Kukatwa mguu kunafanyikaje? Kukatwa mguu kunafanyika wakati wa upasuaji au wakati wa ajali au jeraha mwilini. Ni nani anahitahika kukatwa mguu? Sababu za kukatwa mguu ni pamoja na: Jeraha baya la mguu lililotokea wakati wa ajali Mtiririko wa […]

Read More
Upasuaji

LINDA MOYO WAKO

Moyo Moyo ni pump ndogo inayolingana na ngumi inayosukuma damu mwilini Mfumo wa kuzungusha damu mwilini umeundwa na mishipa ya damu inayotoa na kupeleka damu kwenye moyo. Mishipa ya ateri hubeba damu kutoka kwenye moyo na mishipa ya vena hurudisha damu kwenye moyo. Damu inayozunguka mwilini hupeleka oksijeni kwenye seli zote mwilini na kuondoa hewa […]

Read More
Upasuaji

KUTOBOA/KUTOGA MWILI ILI KUWEKA UREMBO

Kutoboa/kutoga mwili ili kuweka urembo ni nini? Kutoboa/kutoga mwili ni hali ya kutoboa tundu kwenye ngozi ili kuweka urembo kama pambo. Ni maeneo gani ya mwili yanayohusika wakati wa Kutoboa/kutoga mwili? Kutoga sehemu laini ya sikio ili kuweka hereni ndio sehemu inayotogwa zaidi. Baadhi ya watu wanatoga sehemu ya juu ya sikio (sehemu ngumu). Baadhi […]

Read More
Upasuaji

KUHUDUMIA KIDONDA

Nisafishe vipi kidonda nikiwa nyumbani? Dumbukiza kidonda kwenye maji ya uvuguvugu. Tumia sabuni na kitambaa laini kusafisha ngozi inayozunguka kidonda. Jaribu kuhakikisha sabuni haingii kwenye kidonda. Muulize daktari kama unapasawa kutumia kitu kingine chochote isipokuwa maji na sabuni, baadhi ya vitakasaji (kama vile hydrogen peroxide au iodine) vinaweza kupunguza kasi ya kidonda kupona. Kabla ya […]

Read More
Upasuaji

UPASUAJI WA KUPUNGUZA UZITO WA MWILI:Unachohitaji kujua

Upasuaji wa kupunguza uzito wa mwili ni nini? Upasuaji wa kupunguza uzito wa mwili hupunguza ukubwa wa tumbo na kulifanya liwe dogo na kubadili homoni zinazopeleka taarifa za njaa. Kuna aina kuu tatu za upasuaji zinazopendelewa zaidi nazo ni kufunga sehemu ya tumbo (gastric banding), kukata sehemu ya tumbo (sleeve gastrectomy) na njia ya kutengeneza […]

Read More
Upasuaji

KUTOKWA | KUVUJA DAMU KUTOKA PUANI

Maelezo ya jumla Kuvuja damu kutoka puani ni jambo la kawaida sana kwa watoto, lakini watu wazima pia wanapatwa na hii hali mara chache pia. Sababu za kawaida ni pamoja na kuchokonoa pua na kupuliza kwa nguvu pua hasa wakati wa kutoa makamasi, lakini mara nyingi kuvuja damu puani huwa kunaokea bila sababu ya msingi […]

Read More
Upasuaji

KUCHANGIA DAMU:sababu na namna ya kujiandaa

Maelezo ya jumla Kuchangia damu (blood donation) ni utaratibu wa hiari unaoweza kuokoa maisha ya wengine. Kuna aina kadhaa za uchangiaji wa damu, unaosaidia kukidhi mahitaji mbalimbali ya kitabibu. Aina za uchangiaji damu Kuna aina mbili za uchangiaji wa damu, kuchangia damu nzima au apheresis Kuchangia damu nzima Hii ndio aina ya uchangiaji damu inayofanywa […]

Read More
Upasuaji

KIDONDAMALAZI:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Kidondamalazi (Bedsore) ni kidonda kinachotokea kwenye ngozi baada ya shinikizo la muda mrefu linalotokana na kutokujongea kwa muda mrefu (mf: Kuketi au kulala kwa muda mrefu bila kujongea). Kidondamalazi huwapata wagonjwa waliolazwa kitandani kwa muda mrefu sana. Je! Nini dalili za kidondamalazi? Dalili za kidondamalazi zimegawanywa katika hatua nne, kila moja ikielezea […]

Read More
Upasuaji

MDOMO WAZI/SUNGURA:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Mdomo wazi au mdomo sungura (cleft lip and palate) ni kasoro ya kuzaliwa nayo inayoathiri mdomo wa juu wa kinywa na kaakaa au paa la kinywa. Mdomo wazi Kama ni midomo ya juu pekee iliyoathirika, hii hujulikana kama mdomo wazi – cleft lip. Mdomo wazi ni uwazi mdogo, pengo au mbonyeo kwenye […]

Read More
Upasuaji

NGIRI:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Ngiri (hernia) ni hali inayotokea kama kuna uwazi au udhaifu kwenye ukuta wa tumbo na kusababisha viungo vya ndani ya tumbo kuchoropoka na kutokeza nje ya ukuta wa tumbo. Ukuta wa tumbo umeundwa na safu imara ya fascia inayoizunguka misuli ya tumbo, na kazi yake kubwa ni kulinda na kuzuia vinavyopaswa kuwa […]

Read More
X