Je, ninapaswa kuwa na wasiwasi kuwa mwanangu atameza vidude? Watoto wanaweza kumeza kitu bila kutarajia. Mara nyingi, kidude kitapita kwenye […]
Je, ninapaswa kuwa na wasiwasi kuwa mwanangu atameza vidude? Watoto wanaweza kumeza kitu bila kutarajia. Mara nyingi, kidude kitapita kwenye […]
Kuepuka kuumwa/kung’atwa na mbwa? Mbwa wengi hawana tabia ya kung’ata watu. Lakini unaweza kuumwa/kung’atwa na mbwa kama atahisi kutishiwa. Watoto […]
Kuungua kunasababishwa na nini? Mtu yoyote anaweza kuungua. Kwa Watoto wadogo, majeraha mengi ya kuungua yanasababishwa na kukaa sana kwenye […]
Nawezaje kupunguza uwezekano wa mtoto kunywa sumu? Matukio mengi ya watoto kula au kunywa sumu hutokea nyumbani. Unapaswa kuweka mbali […]
Mtoto kuchelewa kuongea maana yake nini? Kuchelewa kuongea kunaweza kusababisha mtoto kuwa na shida kutamka baadhi ya maneno na sentensi, […]
Ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ni nini? Ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ni aina ya ugonjwa wa damu unaorithiwa na Watoto kutoka […]
Kigugumizi ni nini? Kigugumizi ni tatizo la kuzungumza linalosababisha iwe ngumu kusema baadhi ya maneno au sauti. Watu wenye kigugumizi […]
Maelezo ya jumla Yawezekana mwanao amewahi kusumbuka au umewahi kusikia rafiki au ndugu akilalamika kuwa mtoto wake anaharisha na haelewi […]
Maelezo ya jumla Kuvuja damu kutoka puani ni jambo la kawaida sana kwa watoto, lakini watu wazima pia wanapatwa na […]
Utoaji wa chanjo zaidi ya moja kwenye kila hudhurio Katika ratiba ya chanjo Tanzania watoto hupata chanjo zaidi ya moja […]
Madaktari wetu waliobobea wapo tayari kukusikiliza na kuandaa mpango bora wa matibabu kwa ajili yako