Magonjwa ya ndani ya mwili

UKIMWI:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla UKIMWI – Upungufu wa kinga mwilini- ni ugonjwa unaopata mtu baada virusi vya VVU kuharibu mfumo wa kinga yako ya mwili. Kwa kawaida, mfumo wako wa kinga husaidia kupambana na magonjwa. Mfumo wako wa kinga unaposhindwa kufanya kazi yake vyema unaweza kuugua sana na hata kufa. VVU – Virusi vya Ukimwi – […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

UPUNGUFU WA DAMU MWILINI:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Upungufu wa damu (anemia) ni hali ambayo humpata mtu,akiwa na upungufu wa seli nyekundu za damu. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni ambayo hutumiwa na tishu zote mwilini. Dalili za upungufu wa damu ni zipi?    Dalili ni pamoja na:   Maumivu ya kifua         Kizunguzungu (hasa wakati amesimama au wakati wa shughuli nzito)        Uchovu       […]

Read More
X