UGONJWA WA BERIBERI:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia
Maelezo ya jumla Ugonjwa wa beriberi ni ugonjwa uletwao na ukosefu wa vitamini B1Â mwilini (vitamini B1). Nini dalili za ugonjwa wa beriberi? Dalili za ugonjwa wa beriberi kavu (dry ) ni pamoja na: Kupata shida kutembea Kupoteza hisia kwenye mikono na miguu Kupooza kwa miguu Kuchanganyikiwa akili Kupata shida kuongea Maumivu Macho kucheza cheza yenyewe […]