Watoto

TATIZO LA KUHARISHA KWA WATOTO

Maelezo ya jumla Yawezekana mwanao amewahi kusumbuka au umewahi kusikia rafiki au ndugu akilalamika kuwa mtoto wake anaharisha na haelewi ni kitu gani anaweza kufanya. Makala hii inalenga kuwa msaada unapokutana na changamoto ya kuharisha kwa watoto. Kuharisha kwa watoto ni tatizo linasababisha vifo miongoni mwa watoto chini ya miaka mitano. Inakadiriwa kwamba kwa kila […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

MAGONJWA YA NGONO:Sababu,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Magonjwa ya ngono ni magonjwa yanayoambukiza kwa njia ya tendo la kujamiiana na mtu aliyeambukizwa magonjwa hayo bila kutumia kondomu. Matendo ya kujamiiana hujumuisha kuingiza uume ukeni au kwenye sehemu ya haja kubwa na kunyonyana sehemu za siri, Magonjwa haya huweza kuwapata watu wa rika na jinsi zote hususani wale walio katika umri […]

Read More
Mazingira

KICHAA CHA MBWA:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Kichaa cha mbwa (Rabies) ni ugonjwa hatari sana wa wanyama unaosababishwa na virusi. Unaweza kuwapata wanyama wa mwitu, kama vile kicheche, popo na mbweha. Unaweza pia kuwapata wanyama wa nyumbani kama mbwa, paka au wanyama wengine. Watu hupata ugonjwa huu baada ya kuumwa na mnyama aliyeambukizwa. Je! Nini dalili za kichaa cha […]

Read More
X