
Maelezo ya jumla Magonjwa ya ngono (Sexual transmitted diseases) ni magonjwa yanayoambukiza kwa njia ya tendo la kujamiiana na mtu aliyeambukizwa magonjwa hayo bila kutumia . Matendo ya kujamiiana hujumuisha kuingiza uume ukeni au kwenye sehemu ya haja kubwa na kunyonyana sehemu za siri, Magonjwa haya huweza kuwapata watu wa rika...