Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA MALARIA:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea wanaoambukizwa na mbu aina ya anofelesi. Dalili za awali za ugonjwa huu ni pamoja na: uchovu, homa, kuhisi baridi, kutokwa jasho, maumivu ya kichwa, kichefuchefu na kutapika. Dalili zinazofuta zinaweza kuwa mbaya na hata kutishia maisha ya mgonjwa. Mgonjwa huanza kupata shida kupumua, kuchanganyikiwa, na hatimaye […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

UVIMBE KWENYE UBONGO:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Hakuna sababu inayojulikana ya kutokea kwa uvimbe kwenye ubongo. Ubongo ni sehemu ya mfumo mkuu wa neva. Ni chanzo cha mawazo, hisia, kumbukumbu, lugha, kuona, kusikia, kutembea, na kadhalika.  Kwa upande mmoja, uvimbe unaweza kuharibu moja kwa moja seli za ubongo. Kwa upande mwingine, unaweza kuharibu seli za ubongo kwa kuzibana, kuzikandamiza […]

Read More
Magonjwa ya akili

KIFAFA:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Kifafa (epilepsy) ni ugonjwa wa ubongo unaotokea kama muundo na shughuli za neva kwenye ubongo umevurugika .Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na majeraha ya kichwa, kiharusi na magonjwa mengine ya mishipa ya damu, uvimbe kwenye ubongo, maambukizi kwenye ubongo yanayoweza kusababisha uvimbe wa tando za uti wa mgongo na ubongo ”meningitis”, uvimbe wa […]

Read More
X