Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA KISUKARI AINA YA 1:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Kisukari aina ya 1 huwapata zaidi watoto na vijana wadogo. Kisukari ni ugonjwa ambao mgonjwa huwa na kiwango cha juu cha sukari kwenye damu kuliko kawaida.Mwili wa mgonjwa wa kisukari aina ya 1 hautengenezi insulini. Mfumo wa kinga ya mwili hushambulia na kuharibu seli za kongosho zinazozalisha insulini. Insulini ni homoni inayohitajika […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

SHINIKIZO LA JUU LA DAMU :Dalili na Matibabu

Maelezo ya jumla Shinikizo la juu la damu, ni hali ya muda mrefu ambapo shinikizo la damu katika mishipa huwa juu saana. Presha (Shinikizo la damu) ni nguvu ya damu inaposukumwa/kukandamizwa dhidi ya kuta za mishipa wakati wa kutiririka. Kila wakati moyo unapopiga, unasukuma damu ndani ya mishipa. Shinikizo la damu ni kubwa wakati moyo […]

Read More
X