UGONJWA WA TAUNI:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia
Maelezo ya jumla Ugonjwa wa tauni (plague) ni ugonjwa wa kuambukiza unaowapata panya, wanyama wengine na binadamu. Ugonjwa huu husababishwa na bakteria wanaoitwa Yersinia pestis. Kuna aina tatu za ugonjwa huu, tauni inayosababisha mtoki (bubonic), tauni inayosababisha nyumonia (pneumonic) na tauni inayosambaa kwenye damu (septicemic). Dalili za ugonjwa huu ni pamoja na: homa, maumivu ya […]