Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA UNAOTOKANA NA KUWA KATIKA MAENEO YALIYO JUU KUTOKA SANA USAWA WA BAHARI

Maelezo ya jumla Ugonjwa unaotokana na kuwa katika maeneo yaliyo juu sana kutoka usawa wa bahari  (altitude sickness), huu ni ugonjwa unaowapata watu wanaopanda milima, wanaoruka angani kwa parachuti au wanaosafiri kwenda kwenye maeneo yaliyo juu sana kutoka usawa wa bahari (kwa kawaida juu sana kuliko futi 8000 u mita 2400). Nini dalili za ugonjwa […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA PEPOPUNDA | TETENASI:Sababu,matibabu

Maelezo ya jumla Ugonjwa wa pepopunda au tetenasi ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria. Bakteria hawa huishi kwenye udongo, mate, vumbi na mbolea. Bakteria hawa mara nyingi huingia mwilini kupitia kwenye kidonda, mfano unapojikata na kisu au unapochomwa na msumari. Je! Nini dalili za pepopunda? Maambukizi ya ugonjwa huu husababisha misuli ya mwili mzima kukaza na […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA PUMU:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Pumu ni ugonjwa unaosababishwa na mkazo wa ghafla na kuvimba kwa njia ya hewa, hii husababisha, kifua kubana, kukorota, kupumua kwa shida na kukohoa. Je, nini dalili za Pumu?     Watu wengi wenye ugonjwa huu, huwa wanapata shida ya kupumua wakati wa shambulio na baada ya shambulio la pumu mgonjwa hurudi katika hali […]

Read More
X