Magonjwa ya ndani ya mwili

KISUKARI AINA YA 2:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Mgonjwa wa kisukari huwa na kiwango cha juu cha sukari kwenye damu kuliko ilivyo kawaida. Kisukari aina ya 2, ndiyo aina ya kisukari inayowapata watu wengi zaidi, karibia 90-95% za wagonjwa wote wanaotambuliwa kuwa na kisukari huwa na aina hii ya kisukari. Wagonjwa wa aina ya 2 ya kisukari hawatengenezi insulini ya […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

KICHWA KUUMA:Sababu,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Kichwa kuuma ni neno linalotumika kuelezea maumivu ya kichwa au sehemu ya juu ya shingo. Kichwa ni eneo linalopata maumivu ya mara kwa mara. Maumivu ya kichwa yana sababu nyingi,nyingine ni za kawaida lakini nyingine ni hatari kama vile uvimbe kwenye ubongo, maambukizi kwenye ubongo, wasiwasi, yabisi kavu ya shingo au mgongo, […]

Read More
X