Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA KISUKARI:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Ugonjwa wa kisukari (diabetes) ni ugonjwa unaoleta matatizo ya kimetaboliki ambayo husababisha kuwepo kwa viwango vya juu vya sukari katika damu kwa muda mrefu. Dalili za ugonjwa huu ni pamoja na kukojoa mara kwa mara, kuwa na kiu sana, na kuhisi njaa sana. Bila kutibiwa, ugonjwa huu unaweza kusababisha matatizo mengi. Matatizo […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

SHINIKIZO LA JUU LA DAMU :Dalili na Matibabu

Maelezo ya jumla Shinikizo la juu la damu, ni hali ya muda mrefu ambapo shinikizo la damu katika mishipa huwa juu saana. Presha (Shinikizo la damu) ni nguvu ya damu inaposukumwa/kukandamizwa dhidi ya kuta za mishipa wakati wa kutiririka. Kila wakati moyo unapopiga, unasukuma damu ndani ya mishipa. Shinikizo la damu ni kubwa wakati moyo […]

Read More
X