Magonjwa ya akili

ULEVI:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Ulevi (Alcoholism) na kunywa pombe kupita kiasi (Alcohol abuse) ni matatizo mawili tofauti. Ulevi ni pale unapopata dalili za kimwili za uraibu wa pombe lakini ukaendelea kunywa pombe, japo utapata matatizo ya kiafya, kiakili, kijamii, kifamilia na hata kazini,utaendelea kunywa. Pombe inaweza kutawala maisha na mahusiano yako. Unywaji wa pombe kupita kiasi […]

Read More
Magonjwa ya akili

KURUKWA NA AKILI / WENDAWAZIMU

Mwone mtoa huduma wa afya au mtaalamu wa afya ya akili ikiwa wewe au mwanafamilia anaonesha dalili za kurukwa akili

Read More
X