Magonjwa ya wanawake

MAUMIVU WAKATI WA HEDHI:Sababu,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Maumivu wakati wa hedhi ni tatizo linalowapata wanawake wengi Hedhi ni hali ya kawaida kwa wanawake, wanawake hutokwa na damu ukeni kwa siku kadhaa na mara nyingi hutokea kila mwezi mara moja. Hali hii huwapata wanawake walio katika umri wa kuzaa, yaani wale ambao wamekwisha vunja ungo tayari. Mzunguko wa hedhi ambao […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

KUHARA/KUHARISHA:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Kuhara / Kuharisha (Diarrhea) ni hali ya kupata kinyesi chepesi chenye majimaji mengi. Kwa kawaida, mtu mwenye kuhara hupata kinyesi zaidi ya mara tatu kwa siku. Kuharisha ni tatizo linalowapata watu wengi na linaweza kudumu kwa siku 1 au 2 na kisha kupungua bila matibabu yoyote. Kuharisha kwa muda mrefu kunakoendelea zaidi […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA KIMETA:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Dalili hutofautiana kulingana na aina ya kimeta. Ugonjwa huu haumbikizwi kutoka kwa mtu moja mpaka mwingine kama ilivyo mafua. Watu walio kwenye hatari zaidi ya kupata maambukizi ni wataalamu wa maabara na watu wanashughulika na wanyama. Utambuzi wa ugonjwa huu utafanyika kwa kuangalia dalili na kufanya vipimo. Matibabu yanaweza kuwa antibiotics na […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA AMIBA:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Ugonjwa wa amiba (Amoebiasis) ni ugonjwa wa matumbo unaosababishwa na vimelea vya Entamoeba histolytica. Je! Ni nini dalili za ugonjwa wa amiba? Kwa kawaida, ugonjwa huu hudumu kwa wiki mbili, lakini unaweza kurudi ikiwa hautatibiwa vyema. Dalili zisizo kali ni: Tumbo kuuma Kuhara Kupata kinyesi chepesi mara 3 – 8 kwa siku […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

VIDONDA VYA TUMBO:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) ni vidonda kwenye ukuta wa tumbo au duodeni (mwanzo wa utumbo mdogo). Vidonda vinawapata watu wengi siku hizi: Mmoja kati ya Watu 10 hupata kidonda kwa wakati fulani katika maisha yake. Sababu za vidonda vya tumbo ni maambukizi ya bakteria, matumizi ya muda mrefu ya dawa aina […]

Read More
X