Magonjwa ya ndani ya mwili

SARATANI YA KIBOFU:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Kibofu (bladder) hupatikana kwenye sehemu ya chini ya tumbo, na kazi yake kubwa ni kuhifadhi mkojo. Saratani ya kibofu (bladder cancer) hutokea kwenye utando wa ndani wa kibofu. Je, nini dalili za kansa ya kibofu? Dalili za kansa ya kibofu ni pamoja na: Mkojo wenye damu (Mkojo huwa kama una kutu au […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

MAAMBUKIZI KWENYE NJIA YA MKOJO

Maelezo ya jumla Maambukizi kwenye njia ya mkojo (Yutiyai) yanaweza kutokea mahali popote kwenye njia ya mkojo. Maambukizi haya yana majina tofauti, kulingana na sehemu ilioambukizwa. Maambukizi katika kibofu cha mkojo huitwa cystitis, maambukizi kwenye figo moja au zote mbili huitwa pyelonephritis , maambukizo kwenye mirija ya kubeba mkojo kutoka kwenye figo mpaka kwenye kibofu […]

Read More
X