Magonjwa ya ndani ya mwili

DAMU KWENYE KINYESI:Sababu,matatibu,kuzuia

Maelezo ya jumla Mara nyingi kunapokuwepo na damu kwenye kinyesi huashiria kuwa kuna tatizo au jeraha kwenye mfumo wa kumeng’enya chakula. Damu kwenye kinyesi inaweza kutoka mahali popote kwenye mfumo wa kumeng’enya chakula, kuanzia mdomoni hadi kwenye sehemu ya kutolea haja kubwa. Damu inaweza kuwepo kwa kiasi kidogo sana kiasi kwamba huwezi kuiona kwa macho […]

Read More
Magonjwa ya akili

MSONGO:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Msongo (Stress)  hutokana na wazo lolote au tukio lolote linalokufanya uhisi huzuni, hasira, au hofu. Msongo/ mfadhaiko humpata mtu akipata shida/taabu, dhiki au matatizo fulani. Wasiwasi (anxiety) ni hisia ya hofu na mahangaiko. Chanzo cha dalili hizi mara nyingi hazijulikani. Je! Nini dalili za wasiwasi na Msongo? Msongo ni hisia ya kawaida. […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

VIDONDA VYA TUMBO:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) ni vidonda kwenye ukuta wa tumbo au duodeni (mwanzo wa utumbo mdogo). Vidonda vinawapata watu wengi siku hizi: Mmoja kati ya Watu 10 hupata kidonda kwa wakati fulani katika maisha yake. Sababu za vidonda vya tumbo ni maambukizi ya bakteria, matumizi ya muda mrefu ya dawa aina […]

Read More
X