Magonjwa ya ndani ya mwili

MAPAFU KUJAA MAJI : Dalili, Sababu, Matibabu

Maelezo ya jumla Mapafu kujaa maji (pulmonary edema) ni hali isiyo ya kawaida ya maji kujaa kwenye mapafu na kusababisha kupumua kwa shida. Je! Nini dalili za mapafu kujaa maji?     Wasiwasi    Kukohoa   Kupumua kwa shida Kutokwa jasho sana  Kuhisi uhitaji mkubwa wa hewa au mtu kujihisi kama anazama majini  (ikiwa hili litatokea ghafla mtu akiwa […]

Read More
X