Watoto

TATIZO LA KUHARISHA KWA WATOTO

Maelezo ya jumla Yawezekana mwanao amewahi kusumbuka au umewahi kusikia rafiki au ndugu akilalamika kuwa mtoto wake anaharisha na haelewi ni kitu gani anaweza kufanya. Makala hii inalenga kuwa msaada unapokutana na changamoto ya kuharisha kwa watoto. Kuharisha kwa watoto ni tatizo linasababisha vifo miongoni mwa watoto chini ya miaka mitano. Inakadiriwa kwamba kwa kila […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

KIBWIKO/KIGUU:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Mtoto mwenye kibwiko au kiguu (clubfoot) huzaliwa na miguu au mguu wenye wayo uliogeukia ndani au nje. Hali hii huwepo wakati mtoto anapozaliwa. Ni nini dalili za kibwiko/kiguu? Mwonekano wa mguu hutofautiana. Mguu mmoja au yote inaweza kuathirika. Wayo wa mguu hugeukia ndani au nje anapozaliwa, na inaweza kuwa ngumu kuinyoosha ili […]

Read More
Watoto

KUKOKOJA KITANDANI/KIKOJOZI:Matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Kikojozi ”bedwetter” ni mtoto wa miaka 5 mpaka 6 anayejikojolea bila hiari yake – ana tatizo la kukojoa kitandani. Anaweza kujikojolewa wakati wowote ,iwe usiku au mchana. Makala hii inalenga kuzungumzia zaidi kujikojolea wakati wa usiku. Kikojozi ni nani ? Dalili kuu ni kukojoa bila hiari ,hasa wakati wa usiku, na hutokea […]

Read More
X