Magonjwa ya wanawake

KUOTA VINYAMA /MASUNDOSUNDO SEHEMU ZA SIRI

Maelezo ya jumla Ugonjwa wa kuota vinyama sehemu za siri/Masundosundo/vigwaru au “Genital warts”, ni tatizo la kuota vinyama vidogo laini kwenye ngozi au utando laini unaozunguka maeneo ya siri. Vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija wa mkojo “urethra”, vulva, shingo ya kizazi , au maeneo ya kuzunguka njia ya haja kubwa au ndani yake. Huu […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

KANSA / SARATANI : Dalili, sababu, Matibabu

Maelezo ya jumla Saratani au kansa ni ukuaji wa seli sizizo za kawaida mwilini usio na udhibiti. Dalili za saratani Dalili za kansa hutegemea ni aina gani ya kansa na eneo la mwili ilipotokea. Kwa mfano, saratani ya mapafu inaweza kusababisha kukohoa, kupata shida kupumua, au maumivu ya kifua. Kansa ya utumbo mara nyingi husababisha […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

SARATANI YA MAPAFU:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Saratani ya mapafu ni kansa inayowapata watu wengi duniani kote. Ni kansa inayoongoza kwa kusababisha vifo kwa wanaume na wanawake duniani. Uvutaji wa sigara ni sababu kuu ya kutokea kwa kansa nyingi za mapafu. Mambo mengine yanayoongeza hatari ya kupata saratani ya mapafu ni pamoja na kiwango kikubwa cha uchafuzi wa mazingira, […]

Read More
X