KUOTA VINYAMA /MASUNDOSUNDO SEHEMU ZA SIRI
Maelezo ya jumla Ugonjwa wa kuota vinyama sehemu za siri/Masundosundo/vigwaru au “Genital warts”, ni tatizo la kuota vinyama vidogo laini kwenye ngozi au utando laini unaozunguka maeneo ya siri. Vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija wa mkojo “urethra”, vulva, shingo ya kizazi , au maeneo ya kuzunguka njia ya haja kubwa au ndani yake. Huu […]