Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA POLIO/UGONJWA WA KUPOOZA

Maelezo ya jumla Ugonjwa wa polio ni ugonjwa unaoathiri mishipa ya fahamu na kusababisha kupooza. Ugonjwa huu husababishwa na virusi (poliovirus) wanaoishi kwenye mfumo wa kumeng’enya chakula. Si kila mtu anayeambukizwa virusi hivi vya polio hupooza, watu wengi huwa na dalili za kawaida tu, kama; maumivu ya kichwa, homa, kutapika, maumivu ya mgongo, maumivu ya […]

Read More
Magonjwa ya akili

ULEVI:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Ulevi (Alcoholism) na kunywa pombe kupita kiasi (Alcohol abuse) ni matatizo mawili tofauti. Ulevi ni pale unapopata dalili za kimwili za uraibu wa pombe lakini ukaendelea kunywa pombe, japo utapata matatizo ya kiafya, kiakili, kijamii, kifamilia na hata kazini,utaendelea kunywa. Pombe inaweza kutawala maisha na mahusiano yako. Unywaji wa pombe kupita kiasi […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

KIHARUSI : Dalili, Sababu, Matibabu, Kuzuia

Maelezo ya jumla Kiharusi (stroke) ni hali inayomtokea mtu kunapokuwepo na kizingiti kinachozuia damu kufika katika sehemu fulani ya ubongo. Wakati mwingine kiharusi huitwa “shambulio la ubongo.” Je! Nini dalili za kiharusi? Dalili za kiharusi hutegemea mahali na eneo la uharibifu wa ubongo. Eneo dogo la ubongo linapoathiriwa linaweza kusababisha dalili yoyote. Kwa mujibu wa […]

Read More
X