Magonjwa ya ndani ya mwili

UKIMWI:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla UKIMWI – Upungufu wa kinga mwilini- ni ugonjwa unaopata mtu baada virusi vya VVU kuharibu mfumo wa kinga yako ya mwili. Kwa kawaida, mfumo wako wa kinga husaidia kupambana na magonjwa. Mfumo wako wa kinga unaposhindwa kufanya kazi yake vyema unaweza kuugua sana na hata kufa. VVU – Virusi vya Ukimwi – […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA KIFUA KIKUU:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Kifua kikuu (Tuberculosis) ni maambukizi ya bakteria yanayoua zaidi ya watu milioni 1.8 kote duniani. Takribani watu milioni 10.4 duniani wameambukizwa ugonjwa huu. Tb ni ugonjwa unaoweza kuua 60% ya watu walioambukizwa kama hawatatibiwa, lakini wakitibiwa 90% ya wagonjwa walioambukiza hupona kabisa. Watu wengi ambao wameambukizwa wana kifua kikuu fiche. Hii ina […]

Read More
X