Magonjwa ya akili

MSONGO:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Msongo (Stress)  hutokana na wazo lolote au tukio lolote linalokufanya uhisi huzuni, hasira, au hofu. Msongo/ mfadhaiko humpata mtu akipata shida/taabu, dhiki au matatizo fulani. Wasiwasi (anxiety) ni hisia ya hofu na mahangaiko. Chanzo cha dalili hizi mara nyingi hazijulikani. Je! Nini dalili za wasiwasi na Msongo? Msongo ni hisia ya kawaida. […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

MAUMIVU/CHEMBE YA MOYO ”ANGINA”

Maelezo ya jumla  Chembe ya moyo (angina) ni aina ya usumbufu au maumivu ya kifua ambayo yanatokea kama matokeo ya upungufu wa damu inayopeleka okisijeni kwenye misuli ya moyo, okisijeni inapopungua inashindwa kukidhi mahitaji ya misuli ya moyo na kusababisha maumivu kifuani. Maumivu haya ya kifua kwa kawaida yanatokea baada ya kufanya shughuli nzito na […]

Read More
X