MSONGO:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia
Maelezo ya jumla Msongo (Stress)Â hutokana na wazo lolote au tukio lolote linalokufanya uhisi huzuni, hasira, au hofu. Msongo/ mfadhaiko humpata mtu akipata shida/taabu, dhiki au matatizo fulani. Wasiwasi (anxiety) ni hisia ya hofu na mahangaiko. Chanzo cha dalili hizi mara nyingi hazijulikani. Je! Nini dalili za wasiwasi na Msongo? Msongo ni hisia ya kawaida. […]