Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA KISONONO: Sababu, dalili, matibabu

Maelezo ya jumla Kisonono (Gonorrhea) ni ugonjwa wa zinaa. Je, Nini dalili za kisonono? Dalili za kisonono huanza kuonekana siku 2 – 5 baada ya kuambukizwa. Hata hivyo, kwa wanaume, dalili zinaweza kuchelewa mpaka mwezi. Watu wengine hawapati dalili kabisa. Wanaweza kuwa hawajui kabisa kwamba wameambukizwa ugonjwa huu, na kwa sababu hiyo hawatafuti matibabu. Hii […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

JIPU

Maelezo ya jumla Jipu (abscess) ni mkusanyiko wa usaha katika sehemu yoyote ya mwili, ambayo mara nyingi huisababisha ivimbe. Je! Ni nini dalili za jipu? Dalili hutegemea hasa mahali lilipo. Dalili za kawaida ni kama zifuatazo: Maumivu kwenye eneo Kuhisi baridi Homa Kupungua kwa uwezo wa kufanya kazi katika eneo lililoathirika Kujisikia vibaya, wasiwasi, au […]

Read More
Magonjwa ya ngozi, kucha, nywele

UKURUTU : Dalili, Sababu, Matibabu, Kuzuia

Maelezo ya jumla Ukurutu (eczema), ni neno linalotumika kuwakilisha aina mbalimbali za uvimbe wa ngozi. Tatizo hili hujulikana pia kama ugonjwa wa ngozi (dermatitis). Ukurutu sio hatari na hauambukizwi, lakini aina nyingi husababisha ngozi kuwa nyekundu, kuvimba na kuwasha. Mambo ambayo yanaweza kusababisha shida hii ni pamoja na magonjwa, vitu vinavyowasha, mzio au aleji na […]

Read More
X