Magonjwa ya ndani ya mwili

KUSHUKA KWA SHINIKIZO LA DAMU:Dalili,matatibu..

Maelezo ya jumla Kushuka kwa shinikizo la damu (hypotension), ni hali ya kuwa na shinikizo la damu lililo chini sana kuliko kawaida. Hii humaanisha moyo, ubongo, na sehemu nyingine za mwili hazipati damu ya kutosha. Nini dalili za kushuka kwa shinikizo la damu? Dalili zinaweza kujumuisha: Kuona maluweluwe Kuchanganyikiwa Kizunguzungu Kupoteza fahamu Kuhisi usingizi Uchovu/ […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

HOMA YA EBOLA:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Homa ya Ebola ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya ebola. Ugonjwa huu, huua zaidi ya 90% ya wagonjwa wanaoambukizwa. Japo asili ya virusi vya ebola haijulikani, popo hufikiriwa kuwa chanzo cha maambukizi. Unaweza kuambukizwa ebola kwa kugusa majimaji ya mwili yenye uambukizo. Dalili za ugonjwa huu ni pamoja na: homa, kuhisi baridi, […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

UGONJWA WA MALARIA:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea wanaoambukizwa na mbu aina ya anofelesi. Dalili za awali za ugonjwa huu ni pamoja na: uchovu, homa, kuhisi baridi, kutokwa jasho, maumivu ya kichwa, kichefuchefu na kutapika. Dalili zinazofuta zinaweza kuwa mbaya na hata kutishia maisha ya mgonjwa. Mgonjwa huanza kupata shida kupumua, kuchanganyikiwa, na hatimaye […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

KUTOKWA DAMU:Sababu,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Kutokwa damu (bleeding) kunaweza kutokea nje au ndani ya mwili: Ndani ya mwili, damu huvuja kutoka kwenye mishipa ya damu au viungo Nje ya mwili, damu hutoka kupitia kwenye matundu ya asili (kama vile uke, mdomo, au njia ya haja kubwa) au damu inapotoka kupitia kwenye ngozi Daima tafuta msaada wa dharura […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

DAMU KWENYE KINYESI:Sababu,matatibu,kuzuia

Maelezo ya jumla Mara nyingi kunapokuwepo na damu kwenye kinyesi huashiria kuwa kuna tatizo au jeraha kwenye mfumo wa kumeng’enya chakula. Damu kwenye kinyesi inaweza kutoka mahali popote kwenye mfumo wa kumeng’enya chakula, kuanzia mdomoni hadi kwenye sehemu ya kutolea haja kubwa. Damu inaweza kuwepo kwa kiasi kidogo sana kiasi kwamba huwezi kuiona kwa macho […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

UPUNGUFU WA DAMU MWILINI:Sababu,dalili,matibabu

Maelezo ya jumla Upungufu wa damu (anemia) ni hali ambayo humpata mtu,akiwa na upungufu wa seli nyekundu za damu. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni ambayo hutumiwa na tishu zote mwilini. Dalili za upungufu wa damu ni zipi?    Dalili ni pamoja na:   Maumivu ya kifua         Kizunguzungu (hasa wakati amesimama au wakati wa shughuli nzito)        Uchovu       […]

Read More
X