Watoto

TATIZO LA KUHARISHA KWA WATOTO

Maelezo ya jumla Yawezekana mwanao amewahi kusumbuka au umewahi kusikia rafiki au ndugu akilalamika kuwa mtoto wake anaharisha na haelewi ni kitu gani anaweza kufanya. Makala hii inalenga kuwa msaada unapokutana na changamoto ya kuharisha kwa watoto. Kuharisha kwa watoto ni tatizo linasababisha vifo miongoni mwa watoto chini ya miaka mitano. Inakadiriwa kwamba kwa kila […]

Read More
Macho

UASTIGMATI:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Uastigmati (Astigmatism) ni dosari katika jicho/lenzi unaozuia fokasi sahihi ya mwanga kwenye retina (refrative error). Retina ni sehemu  inayopokea nuru ndani ya jicho. Mtu mwenye uastigmati haoni vizuri. Je, nini dalili za uastigmati? Hali hii inaweza kusababisha dalili kama vile: Kuona ukungu Makengeza Kuhisi mkazo au kuchoka macho Uchovu Kichwa kuuma Ugumu […]

Read More
X