Magonjwa ya ndani ya mwili

KANSA / SARATANI : Dalili, sababu, Matibabu

Maelezo ya jumla Saratani au kansa ni ukuaji wa seli sizizo za kawaida mwilini usio na udhibiti. Dalili za saratani Dalili za kansa hutegemea ni aina gani ya kansa na eneo la mwili ilipotokea. Kwa mfano, saratani ya mapafu inaweza kusababisha kukohoa, kupata shida kupumua, au maumivu ya kifua. Kansa ya utumbo mara nyingi husababisha […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

ROVU:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Rovu (goita/kuvimba tezi ya shngo) ni hali ambayo husababisha kuvimba kwa tezi dundumio. Sababu  kubwa inayosababisha kuvimba kwa tezi dundumio ni ukosefu wa madini ya joto katika mlo. Pia inaweza kusababishwa na magonjwa mengine mengi kama vile ugonjwa wa graves, ugonjwa wa hashimoto na saratani ya tezi dundumio. Ishara na dalili za […]

Read More
X