Magonjwa ya ndani ya mwili

SONONA:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Sonona (Depression) ni hali ya kuhisi huzuni, kushuka moyo na kukosa furaha. Wengi wetu hujihisi hivi kwa wakati mmoja au mwingine kwa muda mfupi. Ugonjwa wa sonona ni tatizo la kihisia, mgonjwa huhisi huzuni mwingi na hasira. Mafadhaiko wa aina hii huvuruga mfumo wa maisha ya kila siku wa mgonjwa. Je! Nini […]

Read More
Magonjwa ya ndani ya mwili

VIDONDA VYA TUMBO:Sababu,dalili,matibabu,kuzuia

Maelezo ya jumla Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) ni vidonda kwenye ukuta wa tumbo au duodeni (mwanzo wa utumbo mdogo). Vidonda vinawapata watu wengi siku hizi: Mmoja kati ya Watu 10 hupata kidonda kwa wakati fulani katika maisha yake. Sababu za vidonda vya tumbo ni maambukizi ya bakteria, matumizi ya muda mrefu ya dawa aina […]

Read More
X