Magonjwa ya ndani ya mwili

KUSHUKA KWA SHINIKIZO LA DAMU:Dalili,matatibu..

Maelezo ya jumla Kushuka kwa shinikizo la damu (hypotension), ni hali ya kuwa na shinikizo la damu lililo chini sana kuliko kawaida. Hii humaanisha moyo, ubongo, na sehemu nyingine za mwili hazipati damu ya kutosha. Nini dalili za kushuka kwa shinikizo la damu? Dalili zinaweza kujumuisha: Kuona maluweluwe Kuchanganyikiwa Kizunguzungu Kupoteza fahamu Kuhisi usingizi Uchovu/ […]

Read More
Maabara|Vipimo

KIPIMO CHA ECHOCARDIOGRAM

Maelezo ya jumla Echocardiogram hutumia mawimbi ya sauti ili kuzalisha picha ya moyo. Kipimo hiki humruhusu daktari kuuchunguza moyo ukipiga na kusukuma damu. Daktari anaweza kutumia picha za Echo kutambua ugonjwa wa moyo. Kulingana na taarifa anazohitaji daktari wako, unaweza kuhitajika kufanya aina moja au nyingine ya echocardiograms. Kwa nini ufanye echocardiogram? Daktari anaweza kupendekeza […]

Read More
Maabara|Vipimo

KIPIMO CHA EKSIREI

Eksirei ni nini? Kipimo cha eksirei (X-ray) ni kipimo cha picha ambacho kimetumika kwa miongo mingi. Kinamsaidia daktari kutazama ndani ya mwili wa mgonjwa bila ya kufanya upasuaji wowote. Hii inasaidia kutambua, kufuatilia, na kutibu hali nyingi za kitabibu. Kuna aina nyingi tofauti tofauti za x-ray zinazotumika kwa madhumuni tofauti tofauti. Kwa mfano, daktari anaweza […]

Read More
X