Magonjwa ya ndani ya mwili

MAAMBUKIZI KWENYE NJIA YA MKOJO

Maelezo ya jumla Maambukizi kwenye njia ya mkojo (Yutiyai) yanaweza kutokea mahali popote kwenye njia ya mkojo. Maambukizi haya yana majina tofauti, kulingana na sehemu ilioambukizwa. Maambukizi katika kibofu cha mkojo huitwa cystitis, maambukizi kwenye figo moja au zote mbili huitwa pyelonephritis , maambukizo kwenye mirija ya kubeba mkojo kutoka kwenye figo mpaka kwenye kibofu […]

Read More
X